Ayubu Alikuwa na Uhakika Kwamba Kungekuwa na Ufufuo
Ayubu alionyesha imani kuwa Mungu ana uwezo wa kumfufua
-
Ayubu alitumia mfano wa mti, labda ule wa mzeituni, ili kuonyesha uwezo wa Mungu wa kumfufua
-
Mizizi ya mzeituni inaenea sana hivi kwamba inaweza kuusadia mti huo kukua tena hata kama shina la mti huo limekatwa. Ikiwa mizizi hiyo iko hai, basi mti huo utachipuka tena
-
Mvua inaponyesha baada ya kipindi kirefu cha ukame, kisiki cha mzeituni kinaweza kuchipua mmea kutoka kwenye mizizi, na kutokeza “matawi kama mmea mpya”