Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 13-19

Yeremia 5-7

Machi 13-19
  • Wimbo 66 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu”: (Dak. 10)

    • Yer 6:13-15—Yeremia alifunua dhambi za taifa (w88 4/1 11-12 ¶7-8)

    • Yer 7:1-7—Yehova alijaribu kuwachochea watubu (w88 4/1 12 ¶9-10)

    • Yer 7:8-15—Waisraeli waliamini kwamba Yehova hangechukua hatua yoyote (jr 21 ¶12)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 6:16—Yehova aliwasihi watu wake wafanye nini? (w05 11/1 23-24 ¶11)

    • Yer 6:22, 23—Kwa nini ingeweza kusemwa kwamba kikundi cha watu kingekuja “kutoka nchi ya kaskazini”? (w88 4/1 13 ¶15)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kushiriki na wengine katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 5:26–6:5

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) T-36—Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) T-36—Zungumzia kisanduku “Jambo la Kufikiria.” Mwalike kwenye Ukumbusho.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) jl somo la 1—Mwalike kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MKRISTO