Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 5-7

Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu

Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu

7:1-4, 8-10, 15

  • Kwa ujasiri Yeremia alifunua dhambi na unafiki wa Waisraeli

  • Waisraeli waliona hekalu kuwa hirizi ambayo ingewalinda

  • Yehova alisema wazi kwamba dhabihu za kidesturi haziwezi kufunika matendo maovu

Jiulize: Ninaweza kuhakikishaje kwamba ibada yangu si ya kidesturi na inapatana na mapenzi ya Yehova?

Yeremia akiwa katika lango la nyumba ya Yehova