Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 8-11

Wanadamu Wanaweza Kufanikiwa Tu Wakiongozwa na Yehova

Wanadamu Wanaweza Kufanikiwa Tu Wakiongozwa na Yehova

Wanadamu hawana uwezo wala haki ya kujiongoza wenyewe

10:21-23

  • Kwa sababu wachungaji wa kiroho wa Israeli hawakumtegemea Yehova, watu walitawanywa

  • Wale waliofuata mwongozo wa Yehova walikuwa na amani, furaha, na ufanisi