Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 1-4

“Mimi Niko Pamoja Nawe ili Nikukomboe”

“Mimi Niko Pamoja Nawe ili Nikukomboe”

Huenda Yeremia alikuwa na umri wa karibu miaka 25 Yehova alipomweka rasmi kuwa nabii. Yeremia alihisi hastahili kupewa jukumu hilo, lakini Yehova alimhakikishia kwamba ataendelea kumtegemeza.

  1. 647

    Yeremia awekwa rasmi kuwa nabii

  2. 607

    Yerusalemu laharibiwa

  3. 580

    Uandikaji wa kitabu chake unakamilishwa

Tarehe zote ni za K.W.K.