Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATHAYO 24

Endelea Kuwa Macho Kiroho Katika Siku za Mwisho

Endelea Kuwa Macho Kiroho Katika Siku za Mwisho

24:39

Watu wengi leo wameruhusu shughuli za kawaida za maisha ziwazuie kufanya mambo ya kiroho. Maoni ya Wakristo walio macho kiroho yanatofautianaje na ya ulimwengu kuhusu mambo kama vile . . .

  • elimu?

  • tafrija na burudani?

  • kazi?

  • vitu vya kimwili?