Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

●○○ZIARA YA KWANZA

Swali: Ni nini kusudi la Mungu kwa wanadamu?

Andiko: Mwa 1:28

Ziara Inayofuata: Tunajuaje kwamba Mungu atatimiza kusudi lake kwa wanadamu?

○●○ZIARA YA KURUDIA YA KWANZA

Swali: Tunajuaje kwamba Mungu atatimiza kusudi lake kwa wanadamu?

Andiko: Isa 55:11

Ziara Inayofuata: Maisha yatakuwaje Mungu atakapotimiza kusudi lake?

○○●ZIARA YA KURUDIA YA PILI

Swali: Maisha yatakuwaje Mungu atakapotimiza kusudi lake?

Andiko: Zb 37:10, 11

Ziara Inayofuata: Tunapaswa kufanya nini ili tunufaike na ahadi za Mungu?

KAMPENI YA KUTOA MIALIKO YA UKUMBUSHO (Machi 23–Aprili 19):

Tungependa kukualika kwenye tukio la pekee sana. Huu ni mwaliko wako. Ijumaa, Aprili 19, mamilioni ya watu ulimwenguni pote watakusanyika pamoja kukumbuka kifo cha Yesu Kristo. Mwaliko huu unaonyesha mahali na wakati ambapo mkutano huo utafanywa katika eneo letu. Pia, tunakualika usikilize hotuba itakayotolewa juma moja mapema. Hotuba hiyo ina kichwa “Jitahidi Kupata Uzima Ulio wa Kweli!”

Akipendezwa Weka Msingi wa Ziara Inayofuata: Kwa nini Yesu alikufa?