Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAROMA 15-16

Mtegemee Yehova Ili Uvumilie na Kupata Faraja

Mtegemee Yehova Ili Uvumilie na Kupata Faraja

15:4-7

Njia moja ambayo Yehova anatufariji na kutusaidia kuvumilia ni kupitia Neno lake. Unafarijika na kutiwa moyo kwa njia gani unapotafakari mifano ya watu hawa katika Biblia?

  • Noa

  • Yosefu

  • Daudi