Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTHO 1-3

Je, Wewe Ni Mtu wa Kimwili au Mtu wa Kiroho?

Je, Wewe Ni Mtu wa Kimwili au Mtu wa Kiroho?

2:14-16

Kila mmoja wetu anahitaji kusitawisha hali nzuri ya kiroho na kuendelea kukua akiwa mtu wa kiroho. (Efe 4:23, 24) Ili ufanye maendeleo, unahitaji kujilisha kiroho, kuwa na miradi ya kiroho, na kusitawisha sifa za tunda la roho.

Hali yako ya kiroho sasa ikoje ikilinganishwa na ilivyokuwa mwaka uliopita, miaka kumi iliyopita, au wakati ulipobatizwa?