Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 25-31

1 WAKORINTHO 4-6

Machi 25-31
  • Wimbo 123 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Chachu Kidogo Huchachisha Donge Lote”: (Dak. 10)

    • 1Ko 5:1, 2—Kutaniko la Korintho lilikuwa likimvumilia mkosaji asiyetubu

    • 1Ko 5:5-8, 13—Paulo aliliambia kutaniko liondoe “chachu” iliyokuwepo miongoni mwao kwa kumkabidhi mkosaji huyo kwa Shetani (it-2 230, 869-870)

    • 1Ko 5:9-11—Kutaniko halipaswi kushirikiana na wakosaji wasiotubu (lvs 241, maelezo ya ziada “Kutengwa na Ushirika”)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • 1Ko 4:9—Watumishi wa Mungu duniani ni “tamasha” kwa malaika katika njia gani? (w09 5/15 24 ¶16)

    • 1Ko 6:3—Paulo alikuwa akirejelea nini alipoandika: “Tutawahukumu malaika”? (it-2 211)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Ko 6:1-14 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO