Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 16-22

MWANZO 25-26

Machi 16-22
  •  Wimbo 18 na Sala

  •  Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Esau Auza Haki Yake ya Mzaliwa wa Kwanza”: (Dak. 10)

    • Mwa 25:27, 28—Ingawa Esau na Yakobo walikuwa mapacha, utu wao na mapendezi yao yalitofautiana (it-1 1242)

    • Mwa 25:29, 30—Esau aliruhusu njaa na uchovu uongoze maamuzi yake

    • Mwa 25:31-34—Esau alikosa uthamini na kuuza haki yake ya kuwa mzaliwa wa kwanza bila kufikiri (w19.02 16 ¶11; it-1 835)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 25:31-34—Simulizi hili linathibitishaje kwamba haikuwa lazima kwa wazaliwa wa kwanza kufanyiza ukoo uliotokeza Masihi? (Ebr 12:16; w17.12 15 ¶5-7)

    • Mwa 26:7—Kwa nini Isaka hakusema ukweli wote katika pindi hii? (it-2 245 ¶6)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 26:1-18 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 78

  • Tumia Video Unapofundisha kwa Kutumia Broshua Habari Njema Kutoka kwa Mungu!: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Wafu Wako Katika Hali Gani? na Kwa Nini Mungu Anaruhusu Kuteseka? Baada ya kila video kuonyeshwa, uliza maswali yafuatayo: Unaweza kutumiaje video hii unapoongoza funzo kwa kutumia broshua Habari Njema? (mwb19.03 7) Ni habari zipi katika video hiyo ambazo zinazoweza kukusaidia unapofundisha? Wakumbushe wote kwamba toleo la kielektroni la broshua Habari Njema lina viunganishi vya video hizo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 108

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 107 na Sala