Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 25-26

Esau Auza Haki Yake ya Kuzaliwa

Esau Auza Haki Yake ya Kuzaliwa

25:27-34

Esau ‘hakuthamini mambo matakatifu.’ (Ebr 12:16) Kwa sababu hiyo, aliuza haki yake ya kuzaliwa. Na hata akaoa wanawake wawili wa kipagani.—Mwa 26:34, 35.

JIULIZE: ‘Ninaweza kuonyeshaje uthamini mwingi zaidi kuelekea mambo haya matakatifu?’

  • Uhusiano wangu na Yehova

  • Roho takatifu

  • Kuitwa kwa jina takatifu, Yehova

  • Huduma ya shambani

  • Mikutano ya Kikristo

  • Ndoa