Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 2-8

MWANZO 22-23

Machi 2-8
  •  Wimbo 89 na Sala

  •  Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mungu Alijaribu Utii wa Abrahamu”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 22:5—Kwa nini Abrahamu alikuwa na uhakika alipowaambia watumishi wake kwamba yeye na Isaka wangerudi ingawa alitazamia kuwa angemtoa Isaka dhabihu? (w16.02 11 ¶13)

    • Mwa 22:12—Andiko hili linaonyeshaje kwamba Yehova huamua kutojua mambo fulani yatakayotokea wakati ujao? (it-1 853 ¶5-6)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 22:1-18 (th somo la 2)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 4

  • Utii Hutulinda: (Dak. 15) Onyesha video yenye kichwa Mkutano wa Kila Mwaka wa 2017—Hotuba na Andiko la Mwaka wa 2018.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 106

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 16 na Sala

^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho:

bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; mwb = Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha; jl = Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?; km = Huduma Yetu ya Ufalme; yb = Kitabu cha Mwaka