Machi 2-8
MWANZO 22-23
Wimbo 89 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mungu Alijaribu Utii wa Abrahamu”: (Dak. 10)
Mwa 22:1, 2—Mungu alimwambia Abrahamu amtoe dhabihu mwana wake mpendwa Isaka (w12 1/1 23 ¶4-6) *
Mwa 22:9-12—Yehova alimzuia Abrahamu asimuue Isaka
Mwa 22:15-18—Yehova aliahidi kumbariki Abrahamu kwa sababu ya utii wake (w12 10/15 23 ¶6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 22:5—Kwa nini Abrahamu alikuwa na uhakika alipowaambia watumishi wake kwamba yeye na Isaka wangerudi ingawa alitazamia kuwa angemtoa Isaka dhabihu? (w16.02 11 ¶13)
Mwa 22:12—Andiko hili linaonyeshaje kwamba Yehova huamua kutojua mambo fulani yatakayotokea wakati ujao? (it-1 853 ¶5-6)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 22:1-18 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kuzungumza kwa Usadikisho, kisha mzungumzie somo la 15 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) it-1 604 ¶5—Kichwa: Kwa Nini Abrahamu Angeweza Kutangazwa Kuwa Mwadilifu Kabla ya Kifo cha Kristo? (th somo la 7)
MAISHA YA MKRISTO
Utii Hutulinda: (Dak. 15) Onyesha video yenye kichwa Mkutano wa Kila Mwaka wa 2017—Hotuba na Andiko la Mwaka wa 2018.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 106
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 16 na Sala
^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho:
bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; mwb = Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha; jl = Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?; km = Huduma Yetu ya Ufalme; yb = Kitabu cha Mwaka