Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 30–Aprili 5

MWANZO 29-30

Machi 30–Aprili 5
  •  Wimbo 93 na Sala

  •  Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Yakobo Anaoa”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 30:3—Kwa nini Raheli aliwaona watoto waliozaliwa na Bilha kuwa watoto wake? (it-1 50)

    • Mwa 30:14, 15—Kwa nini Raheli aliachilia nafasi ya kulala na mume wake kwa kubadilishana na baadhi ya dudai? (w04 1/15 28 ¶7)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Mwa 30:1-21 (th somo la 2)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO