Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 29-30

Yakobo Anaoa

Yakobo Anaoa

29:18-28

Yakobo hakujua mapema majaribu ambayo angekabili baada ya kufunga ndoa. Raheli na Lea hawakupatana. (Mwa 29:32; 30:1, 8) Hata hivyo, licha ya majaribu, Yakobo alitambua kwamba sikuzote Yehova alikuwa akimsaidia. (Mwa 30:29, 30, 43) Hatimaye, wazao wake wakawa taifa la Israeli.—Ru 4:11.

Leo, wale wanaochagua kufunga ndoa watapatwa na changamoto. (1Ko 7:28) Hata hivyo, wanaweza kufanikiwa katika ndoa na kuwa na furaha kwa kumtegemea Yehova na kutumia kanuni za Biblia.—Met 3:5, 6; Efe 5:33.