Isaka Apata Mke
Mtumishi wa Abrahamu alitafuta mwongozo wa Yehova alipokuwa akimchagulia Isaka mke. (Mwanzo 24:42-44) Sisi pia tunapaswa kutafuta mwongozo wa Yehova kabla ya kufanya maamuzi makubwa maishani. Jinsi gani?
-
Sali
-
Chunguza Neno la Mungu na machapisho ya Kikristo
-
Tafuta msaada kutoka kwa Wakristo waliokomaa kiroho