Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Aprili 12-18

HESABU 20-21

Aprili 12-18

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Dumisha Upole Unaposhinikizwa”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Hes 20:23-27—Tunaweza kujifunza mambo gani kutokana na jinsi Haruni alivyotenda baada ya kupewa nidhamu na kutokana na jinsi Yehova alivyomwona licha ya makosa yake? (w14 6/15 26 ¶12)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 20:1-13 (th somo la 2)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 90

  • Sema “Neno Jema kwa Ajili ya Kuwajenga” Wengine: (Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Kulalamika huwaathirije wengine? Ni nini kilichomsaidia ndugu katika video hiyo kufanya mabadiliko?

  • Simama Imara Unaposhinikizwa na Marafiki!: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video ya vibonzo kwenye ubao. Kisha waulize wasikilizaji: Watu wengi hushinikizwa kwa njia gani? Ni ushauri gani unaopatikana katika Kutoka 23:2? Ni hatua gani nne zinazoweza kutusaidia tunaposhinikizwa na marafiki?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 7 ¶16-23

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 129 na Sala