Aprili 12-18
HESABU 20-21
Wimbo 114 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Dumisha Upole Unaposhinikizwa”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Hes 20:23-27—Tunaweza kujifunza mambo gani kutokana na jinsi Haruni alivyotenda baada ya kupewa nidhamu na kutokana na jinsi Yehova alivyomwona licha ya makosa yake? (w14 6/15 26 ¶12)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 20:1-13 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 3)
Hotuba: (Dak. 5) g 1/15 9—Kichwa: Ninawezaje Kudhibiti Hasira? (th somo la 16)
MAISHA YA MKRISTO
Sema “Neno Jema kwa Ajili ya Kuwajenga” Wengine: (Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Kulalamika huwaathirije wengine? Ni nini kilichomsaidia ndugu katika video hiyo kufanya mabadiliko?
Simama Imara Unaposhinikizwa na Marafiki!: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video ya vibonzo kwenye ubao. Kisha waulize wasikilizaji: Watu wengi hushinikizwa kwa njia gani? Ni ushauri gani unaopatikana katika Kutoka 23:2? Ni hatua gani nne zinazoweza kutusaidia tunaposhinikizwa na marafiki?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 7 ¶16-23
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 129 na Sala