HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Dumisha Upole Unaposhinikizwa
Upole wa Musa ulijaribiwa aliposhinikizwa na alipokuwa na mkazo (Hes 20:2-5; w19.02 12 ¶19)
Kwa muda fulani, Musa alikosa kuonyesha upole (Hes 20:10; w19.02 13 ¶20-21)
Yehova aliwatia nidhamu Musa na Haruni kwa kosa hilo zito (Hes 20:12; w09 9/1 19 ¶5)
Upole unamaanisha kutokasirika haraka, kutokuwa na kiburi au kuepuka kujiona kuwa bora. Upole unatusaidia kuvumilia kwa subira tunapokosewa na kuepuka kukasirika, kuwa na kinyongo, au kulipiza kisasi.