HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mimi Ni . . . Urithi Wako”
Yehova aliwapa makuhani na Walawi pendeleo la utumishi lenye thamani kubwa (Hes 18:6, 7)
Kabila la Lawi halikupewa ardhi kuwa urithi, Yehova alikuwa urithi wao (Hes 18:20, 24; w11 9/15 13 ¶9)
Taifa lilitoa sehemu ya kumi ya mazao yake ili kuwategemeza Walawi na makuhani (Hes 18:21, 26, 27; w11 9/15 7 ¶4)
Yehova aliwaahidi makuhani na Walawi kwamba angewapa mahitaji yao ya msingi. Tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atatutegemeza tukijidhabihu ili kumtumikia.