Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Masomo Tunayojifunza Kutokana na Kambi ya Israeli

Masomo Tunayojifunza Kutokana na Kambi ya Israeli

Wanaume waliowekwa rasmi huongoza katika utumishi mtakatifu (Hes 7:10; it-1 497 ¶3)

Watumishi wa Mungu wanapaswa kuwa na utaratibu na mpango (Hes 7:11; it-2 796 ¶1)

Yehova anaelewa udhaifu wa kila mtu (Hes 8:25, 26; w04 8/1 25 ¶1)

Yehova huwaongoza watu wake leo kwa mpango kama alivyowaongoza Waisraeli. Isitoshe, anamwona kila mmoja wetu na kutambua jitihada tunazofanya ili kumtumikia.