Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Jinsi Imani Inavyotufanya Tuwe Jasiri

Jinsi Imani Inavyotufanya Tuwe Jasiri

Wapelelezi walioleta ripoti mbaya walikosa imani (Hes 13:31-33; 14:11)

Ukosefu wa imani wa wapelelezi kumi uliwavunja moyo ndugu zao (Hes 14:1-4)

Wapelelezi waliodumisha ujasiri walikuwa na imani yenye nguvu (Hes 14:6-9; w06 10/1 16-17 ¶5-6)

Tayari Waisraeli walikuwa wamejionea matendo ya wokovu ambayo Yehova alikuwa amefanya kwa niaba yao. Hilo lilipaswa kuimarisha imani yao kwamba angewasaidia kushinda nchi ya Kanaani.