Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Usiwaige Wasio Washikamanifu

Usiwaige Wasio Washikamanifu

Kora, Dathani, na Abiramu walimwasi Yehova na hivyo kukosa ushikamanifu kwa mpango wake. Yehova aliwaangamiza waasi hao pamoja na wote waliowaunga mkono. (Hes 16:26, 27, 31-33) Ni hali zipi zinazoweza kujaribu ushikamanifu wetu kwa Yehova? Ni mifano gani ya Biblia inayoweza kutuzuia kuwaiga wasio washikamanifu?

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA USIWAIGE WASIO WASHIKAMANIFU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa Nadia, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?

  • Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa ndugu aliyevunjika moyo, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?

  • Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa Terrance, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?

  • Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa ndugu shuleni, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?