MAISHA YA MKRISTO
Usiwaige Wasio Washikamanifu
Kora, Dathani, na Abiramu walimwasi Yehova na hivyo kukosa ushikamanifu kwa mpango wake. Yehova aliwaangamiza waasi hao pamoja na wote waliowaunga mkono. (Hes 16:26, 27, 31-33) Ni hali zipi zinazoweza kujaribu ushikamanifu wetu kwa Yehova? Ni mifano gani ya Biblia inayoweza kutuzuia kuwaiga wasio washikamanifu?
TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA USIWAIGE WASIO WASHIKAMANIFU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:
-
Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa Nadia, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?
-
Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa ndugu aliyevunjika moyo, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?
-
Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa Terrance, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?
-
Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa ndugu shuleni, na ni mfano gani wa kuonya uliomsaidia kudumisha ushikamanifu?