Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 8-14

HESABU 9-10

Machi 8-14

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Jinsi Yehova Anavyowaongoza Watu Wake”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Hes 9:13—Wakristo wanajifunza somo gani kutokana na mwongozo huu ambao Waisraeli walipewa? (it-1 199 ¶3)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 10:17-36 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 84

  • Mabadiliko Betheli Yachangia Kuboresha Kazi ya Kuhubiri: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni tangazo gani lililotolewa kwenye mkutano wa kila mwaka wa 2015, na ni sababu gani mbili zilizotolewa za kufanya mabadiliko hayo? Ni mabadiliko gani yaliyofanywa Betheli, na yameleta manufaa gani? Tangazo hilo liliathirije mradi wa ujenzi wa ofisi ya tawi ya Uingereza? Mabadiliko hayo yanathibitishaje kwamba Yehova anatuongoza?

  • Tulitembelea Betheli: (Dak. 5) Onyesha video.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 6 ¶1-6, video ya utangulizi

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 12 na Sala