Machi 8-14
HESABU 9-10
Wimbo 31 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jinsi Yehova Anavyowaongoza Watu Wake”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Hes 9:13—Wakristo wanajifunza somo gani kutokana na mwongozo huu ambao Waisraeli walipewa? (it-1 199 ¶3)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 10:17-36 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwenye nyumba anapopendezwa, toa utangulizi wa video Kumbuka Kifo cha Yesu kisha uizungumzie (lakini usionyeshe video). (th somo la 11)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Mwalike kwenye Ukumbusho mfanyakazi au mwanafunzi mwenzako ambaye umewahi kumhubiria. (th somo la 2)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) bhs 214, maelezo ya ziada 16—Mwalike mwanafunzi wako wa Biblia kwenye Ukumbusho, na utumie Biblia kumfafanulia kwa nini hapaswi kula mifano ya Ukumbusho. (th somo la 17)
MAISHA YA MKRISTO
Mabadiliko Betheli Yachangia Kuboresha Kazi ya Kuhubiri: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni tangazo gani lililotolewa kwenye mkutano wa kila mwaka wa 2015, na ni sababu gani mbili zilizotolewa za kufanya mabadiliko hayo? Ni mabadiliko gani yaliyofanywa Betheli, na yameleta manufaa gani? Tangazo hilo liliathirije mradi wa ujenzi wa ofisi ya tawi ya Uingereza? Mabadiliko hayo yanathibitishaje kwamba Yehova anatuongoza?
Tulitembelea Betheli: (Dak. 5) Onyesha video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 6 ¶1-6, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 12 na Sala