Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Jinsi Yehova Anavyowaongoza Watu Wake

Jinsi Yehova Anavyowaongoza Watu Wake

Yehova aliamua mahali ambapo watu wake wangeenda na wakati wa kwenda (Hes 9:17, 18; it-1 398 ¶3)

Waliokuwa kambini walihitaji kutii upesi (Hes 9:21, 22; w11 4/15 4-5)

Yehova alitumia wanadamu wasio wakamilifu wamwakilishe kutoa mwongozo (Hes 10:5-8)

Tunapowatii wanaoongoza, tunaonyesha kwamba tunamtii Yehova.