HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Jinsi Yehova Anavyowaongoza Watu Wake
Yehova aliamua mahali ambapo watu wake wangeenda na wakati wa kwenda (Hes 9:17, 18; it-1 398 ¶3)
Waliokuwa kambini walihitaji kutii upesi (Hes 9:21, 22; w11 4/15 4-5)
Yehova alitumia wanadamu wasio wakamilifu wamwakilishe kutoa mwongozo (Hes 10:5-8)
Tunapowatii wanaoongoza, tunaonyesha kwamba tunamtii Yehova.