Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Aprili 25–Mei 1

1 SAMWELI 25-26

Aprili 25–Mei 1

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Je, Wewe Hutenda Bila Kufikiri?”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 1Sa 25:18, 19​—Kwa nini tunaweza kusema kwamba Abigaili hakutenda kwa ukaidi dhidi ya ukichwa wa mume wake? (ia 80 ¶16)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 25:1-13 (th somo la 2)

MAISHA YA MKRISTO