Aprili 4-10
1 SAMWELI 20-22
Wimbo 90 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jinsi ya Kuwa Rafiki Mzuri”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 21:12, 13—Tunaweza kujifunza nini kutokana na matendo ya Daudi? (w05 3/15 24 ¶4)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4 ) 1Sa 22:1-11 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia: (Dak. 2) Mfanyie ziara ya kurudia mtu ambaye alikubali mwaliko wa Ukumbusho na alionyesha upendezi. (th somo la 6)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Baada ya hotuba ya Ukumbusho, anzisha mazungumzo na mtu uliyemwalika kisha ujibu swali analouliza kuhusu programu. (th somo la 12)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 04 jambo kuu namba 3 (th somo la 20)
MAISHA YA MKRISTO
“Ni Nani Marafiki Wako Mtandaoni?”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Tumia Mitandao ya Kijamii kwa Hekima.
Karibisha Wageni: (Dak. 5) Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi ikitegemea makala iliyo katika Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha la Machi 2016. Taja mambo ambayo tayari kutaniko lenu limefanya wakati wa kampeni. Rejelea ratiba ya usomaji wa Biblia wa Ukumbusho iliyo kwenye ukurasa wa 10 na 11, na uwatie moyo wote watayarishe mioyo yao kwa ajili ya Ukumbusho. (Ezr 7:10) Taja vikumbusho vyovyote vya lazima kuhusu mipango ya kutaniko lenu ya kuhudhuria au kutazama programu hiyo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr Muhtasari wa Ufafanuzi Mpya, swali la 1-4
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 95 na Sala