Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Jinsi ya Kuwa Rafiki Mzuri

Jinsi ya Kuwa Rafiki Mzuri

Mfariji na umtie moyo rafiki yako anapohuzunika (1Sa 20:1, 2; w19.11 7 ¶18)

Mwonye rafiki yako anapokuwa hatarini (1Sa 20:12, 13; w08 2/15 8 ¶7)

Mtetee rafiki yako anapochongewa (1Sa 20:30-32; w09 10/15 19 ¶11)

Watu wa Yehova wana nafasi nyingi za kusitawisha urafiki mzuri. Ili kupata rafiki, lazima uwe rafiki. Ungependa kuanzisha urafiki na nani katika kutaniko?