Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu

Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu

Nabii wa Yehova alimpa Mfalme Sauli maagizo hususa (1Sa 15:3)

Sauli alijaribu kutoa visingizio vya kutomtii Yehova kikamili (1Sa 15:13-15)

Yehova hakubali ibada kutoka kwa wale ambao hawamtii (1Sa 15:22, 23; w07 6/15 26 ¶4; it-2 521 ¶2)

JIULIZE, ‘Je, ninatii maagizo ya tengenezo la Yehova haraka na kikamili?’