Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Machi 21-27

1 SAMWELI 16-17

Machi 21-27
  • Wimbo 7 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Vita Ni vya Yehova”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 1Sa 16:14​—Ni katika maana gani Sauli alipata “roho mbaya kutoka kwa Yehova”? (it-2 871-872)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 16:1-13 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 11)

  • Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 3) Mwalike mfanyakazi mwenzako, mwanafunzi, au mtu wako wa ukoo ambaye umewahi kumhubiria. (th somo la 2)

  • Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Mfanyie ziara ya kurudia mtu ambaye alikubali mwaliko wa Ukumbusho na alionyesha upendezi. (th somo la 4)

  • Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Mfanyie ziara ya kurudia mtu ambaye alikubali mwaliko wa Ukumbusho na alionyesha upendezi. Mwelekeze kwenye tovuti yetu. (th somo la 20)

MAISHA YA MKRISTO