Machi 28–Aprili 3
1 SAMWELI 18-19
Wimbo 36 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Dumisha Unyenyekevu Unapofanikiwa”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 19:23, 24—Huenda Mfalme Sauli alitenda “kama nabii” katika njia gani? (it-2 695-696)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 18:25–19:7 (th somo la 11)
BORESHA HUDUMA YAKO
“Ongeza Shangwe Yako Katika Huduma—Wasaidie Wanafunzi Wako wa Biblia Kushinda Mazoea Machafu”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Wasaidie Wanafunzi Wako wa Biblia Kushinda Mazoea Machafu.
Hotuba: (Dak. 5) km 1/03 1—Kichwa: Kazi Inayotaka Tuwe Wanyenyekevu. (th somo la 13)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 22 ¶23-31, sanduku 22A
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 2 na Sala