Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Aprili 10-16

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Alithamini Hekima”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Nya 9:19—Huenda simba 12 waliokuwa kwenye kila ngazi mbele ya kiti cha ufalme cha Sulemani waliwakilisha nini? (it-2 1097)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Nya 8:1-16 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO