Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Kusoma Biblia Kila Siku na Jitihada ya Kutafuta Hekima

Kusoma Biblia Kila Siku na Jitihada ya Kutafuta Hekima

Hekima kutoka kwa Mungu ni yenye thamani kama hazina iliyofichika. (Met 2:1-6) Hekima hutusaidia kuwa na busara na kufanya maamuzi mazuri. Inatulinda. Kwa hiyo, hekima “ndilo jambo muhimu zaidi.” (Met 4:5-7) Jitihada inahitajika ili kuchimba hazina za kiroho zilizojificha katika Neno la Mungu. Tunaweza kuanza kufanya hivyo kwa kusoma Neno la Mungu “mchana na usiku,” yaani, kila siku. (Yos 1:8) Ona baadhi ya mapendekezo yanayoweza kutusaidia kusoma Neno la Mungu kwa ukawaida na kufurahia kufanya hivyo.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA VIJANA WANAJIFUNZA KUPENDA NENO LA MUNGU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

Vijana hawa walikabili changamoto zipi walipojaribu kusoma Biblia kila siku, na ni nini kilichowasaidia?

  • Melanie

  • Samuel

  • Celine

  • Raphaello

RATIBA YANGU YA KUSOMA BIBLIA: