Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Wazoeze Watoto Wako Kumpenda Yehova

Wazoeze Watoto Wako Kumpenda Yehova

Wazazi wanapaswa kusitawisha upendo wao kwa Yehova (Kum 6:5; w05 6/15 20 ¶11)

Wanapaswa kuwawekea watoto wao mfano mzuri (Kum 6:6; w07 5/15 15-16)

Wanapaswa kuwafundisha watoto wao mara nyingi kumhusu Yehova (Kum 6:7; w05 6/15 21 ¶14)

Mbali na wakati wa ibada ya familia, ni pindi zipi nyingine ambazo unaweza kutumia kuwasaidia watoto wako kusitawisha upendo kwa Yehova na kanuni zake?