HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Msioane Nao Kamwe”
Yehova aliwaamuru Waisraeli wafunge ndoa na waabudu wenzao tu (Kum 7:3; w12 7/1 29 ¶2)
Yehova angependa watumishi wake waepuke uchungu na maumivu ya moyo (Kum 7:4; w15 3/15 30-31)
Maoni ya Yehova kuhusu ndoa bado hayajabadilika (1Ko 7:39; 2Ko 6:14; w15 8/15 26 ¶12)
JIULIZE, ‘Amri ya kuoa “katika Bwana tu” ina manufaa gani kwangu?’