Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Juni 28–Julai 4

KUMBUKUMBU LA TORATI 9-10

Juni 28–Julai 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Yehova Mungu Wenu Anataka Mfanye Nini?”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Kum 9:1-3—Ingawa wana wa Waanaki walikuwa watu wenye “nguvu na warefu,” kwa nini Waisraeli hawakupaswa kuwaogopa? (it-1 103)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 10:1-22 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO