Juni 28–Julai 4
KUMBUKUMBU LA TORATI 9-10
Wimbo 49 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Mungu Wenu Anataka Mfanye Nini?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kum 9:1-3—Ingawa wana wa Waanaki walikuwa watu wenye “nguvu na warefu,” kwa nini Waisraeli hawakupaswa kuwaogopa? (it-1 103)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 10:1-22 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? na uizungumzie (lakini usionyeshe video). (th somo la 9)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) fg somo la 12 ¶4-5 (th somo la 18)
MAISHA YA MKRISTO
Michezo ya Video: Je, Kweli Wewe Ndiye Mshindi?: (Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Michezo ya video inaweza kukuibia katika njia gani? Ni mambo gani maishani ambayo ni muhimu zaidi ya michezo ya video? (Efe 5:15, 16) Mchezo wa video unaopenda unafunua nini kukuhusu? Unawezaje kuwa mshindi wa kweli?
“Fanya Maamuzi Yenye Hekima Kuhusu Kileo”: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video Fikiria Madhara Kabla ya Kunywa.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 10 ¶1-7, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 3 na Sala