MAISHA YA MKRISTO
Fanya Maamuzi Yenye Hekima Kuhusu Kileo
Wakristo wote wanapaswa kuwa na sifa ya kujizuia inapohusu kileo. (Met 23:20, 29-35; 1Ko 6:9, 10) Ikiwa Mkristo ataamua kunywa, anapaswa kufanya hivyo kwa kiasi. Anapaswa kuepuka kutegemea kileo na kuwakwaza wengine. (1Ko 10:23, 24; 1Ti 5:23) Kwa kweli, hakuna mtu anayepaswa kushinikizwa kutumia kileo, hasa vijana.
TAZAMENI VIDEO YA VIBONZO KWENYE UBAO FIKIRIA MADHARA KABLA YA KUNYWA, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO: