Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mei 17-23

HESABU 32-33

Mei 17-23

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Wafukuze Wakaaji Wote wa Nchi”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Hes 33:54—Ardhi iligawanywa kwa njia gani katika makabila ya Waisraeli? (it-1 359 ¶2)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 32:28-42 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO