Mei 17-23
HESABU 32-33
Wimbo 142 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Wafukuze Wakaaji Wote wa Nchi”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Hes 33:54—Ardhi iligawanywa kwa njia gani katika makabila ya Waisraeli? (it-1 359 ¶2)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 32:28-42 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
“Ongeza Shangwe Yako Katika Huduma—Tumia Mifano Kufafanua Mambo Makuu”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Pata Shangwe ya Kufanya Wanafunzi—Boresha Ustadi Wako—Kutumia Mifano Kufafanua Mambo Makuu.
Hotuba: (Dak. 5) w09 10/1 30, sanduku—Kichwa: Kwa Nini Yehova Alibariki Vita Katika Israeli la Kale? (th somo la 13)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 8 ¶23-27, sanduku 8B
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 107 na Sala