HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mwige Yehova kwa Kutokuwa na Ubaguzi
Mabinti watano wa Selofehadi waliomba waruhusiwe kuhifadhi urithi wa baba yao (Hes 27:1-4; w13 6/15 10 ¶14; ona picha kwenye jalada)
Yehova alifanya uamuzi usio na ubaguzi (Hes 27:5-7; w13 6/15 11 ¶15)
Sisi pia tunapaswa kutenda bila ubaguzi (Hes 27:8-11; w13 6/15 11 ¶16)
Tunaiga sifa ya Yehova ya kutokuwa na ubaguzi kwa kuwatendea waamini wenzetu kwa heshima na upendo mshikamanifu na kwa kuwahubiria watu wa malezi yote.