Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mei 31–Juni 6

KUMBUKUMBU LA TORATI 1-2

Mei 31–Juni 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Hukumu Ni ya Mungu”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Kum 1:19; 2:7—Yehova aliwatunzaje watu wake wakati wa safari yao ya miaka 40 katika ile nyika “kubwa na yenye kutisha”? (w13 9/15 9 ¶9)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 1:1-18 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO