Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Hukumu Ni ya Mungu”

“Hukumu Ni ya Mungu”

[Onyesha video Utangulizi wa Kumbukumbu la Torati.]

Wazee wanapaswa “kuhukumu kwa uadilifu” (Kum 1:16; w96 3/15 23 ¶1)

Wazee hawapaswi “kuhukumu kwa upendeleo” (Kum 1:17; w02 8/1 9 ¶4)

Sisi sote tunaweza kuonyeshaje kwamba tunathamini kuwa na wazee katika makutaniko yetu?—Ebr 13:17; Yak 5:13-15