HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Hukumu Ni ya Mungu”
[Onyesha video Utangulizi wa Kumbukumbu la Torati.]
Wazee wanapaswa “kuhukumu kwa uadilifu” (Kum 1:16; w96 3/15 23 ¶1)
Wazee hawapaswi “kuhukumu kwa upendeleo” (Kum 1:17; w02 8/1 9 ¶4)
Sisi sote tunaweza kuonyeshaje kwamba tunathamini kuwa na wazee katika makutaniko yetu?—Ebr 13:17; Yak 5:13-15