HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Usiruhusu Tamaa Mbaya Zikuongoze
Daudi aliruhusu tamaa mbaya isitawi moyoni mwake (2Sa 11:2-4; w21.06 17 ¶10)
Daudi alitumia vibaya mamlaka yake kuficha kosa lake (2Sa 11:5, 14, 15; w19.09 17 ¶15)
Daudi alipata matokeo mabaya kwa sababu ya dhambi yake (2Sa 12:9-12; w18.06 17 ¶7)
Tunahitaji kujitia nidhamu ili kuepuka kutazama au kufikiria mambo yasiyofaa. (Ga 5:16, 22, 23) Yehova anaweza kutusaidia tusiruhusu tamaa mbaya zisitawi moyoni mwetu.
JIULIZE, ‘Ninahitaji kudhibiti fikira zangu kwa njia nzuri zaidi kuhusu mambo gani maishani?’