Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Usiruhusu Tamaa Mbaya Zikuongoze

Usiruhusu Tamaa Mbaya Zikuongoze

Daudi aliruhusu tamaa mbaya isitawi moyoni mwake (2Sa 11:2-4; w21.06 17 ¶10)

Daudi alitumia vibaya mamlaka yake kuficha kosa lake (2Sa 11:5, 14, 15; w19.09 17 ¶15)

Daudi alipata matokeo mabaya kwa sababu ya dhambi yake (2Sa 12:9-12; w18.06 17 ¶7)

Tunahitaji kujitia nidhamu ili kuepuka kutazama au kufikiria mambo yasiyofaa. (Ga 5:16, 22, 23) Yehova anaweza kutusaidia tusiruhusu tamaa mbaya zisitawi moyoni mwetu.

JIULIZE, ‘Ninahitaji kudhibiti fikira zangu kwa njia nzuri zaidi kuhusu mambo gani maishani?’