Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Absalomu Aliasi kwa Sababu ya Kiburi

Absalomu Aliasi kwa Sababu ya Kiburi

Absalomu alijitakia utukufu (2Sa 15:1; it-1 860)

Absalomu aliiba mioyo ya watu (2Sa 15:2-6; w12 7/15 13 ¶5)

Absalomu alijaribu kumnyang’anya baba yake ufalme (2Sa 15:10-12; it-1 1083-1084)

Hatupaswi kuruhusu tamaa ya makuu isitawi mioyoni mwetu. Badala yake, tunapaswa kuchunguza nia yetu kwa ukawaida. Badala ya kujaribu kujipendekeza kwa wengine, tunazingatia faida yao tukiwa na nia nzuri.​—Flp 2:3, 4.