Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Daudi Alionyesha Upendo Mshikamanifu

Daudi Alionyesha Upendo Mshikamanifu

Daudi alitafuta mtu aliyehitaji kuonyeshwa upendo mshikamanifu (2Sa 9:1; w06 6/15 14 ¶6)

Daudi alitenda kwa haraka ili kumsaidia Mefiboshethi (1Sa 20:15, 42; 2Sa 9:5-7; w05 5/15 17 ¶12)

Daudi alimpa Ziba mgawo wa kutunza urithi wa Mefiboshethi (2Sa 9:9, 10; w02 2/15 14 ¶10)

Daudi hakusahau ahadi aliyompa Yonathani. Tunapaswa kuwaonyesha waabudu wenzetu upendo mshikamanifu.​—Zb 41:1, 2; Met 19:17.