Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

“Upendo . . . Hutumaini Mambo Yote”

“Upendo . . . Hutumaini Mambo Yote”

Tukiongozwa na upendo usio na ubinafsi, tunatumaini kwamba ndugu zetu watafanya maamuzi yanayofaa. (1Ko 13:4, 7) Kwa mfano, ndugu anapotenda dhambi na kupewa nidhamu, tunatumaini kwamba atakubali jitihada za kumrekebisha upya. Tunawaonyesha subira walio na imani dhaifu, na tunajitahidi kuwasaidia. (Ro 15:1) Mtu anapoacha kuwa sehemu ya kutaniko, hatukati tamaa kwamba atarudi.​—Lu 15:17, 18.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA KUMBUKA JINSI UPENDO ULIVYO​—HUTUMAINI MAMBO YOTE, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Abneri alifanya mabadiliko gani?

  • Daudi aliitikiaje ombi la Abneri naye Yoabu alitendaje?

  • Kwa nini tunapaswa kutumaini ndugu zetu watafanya mambo yanayofaa?