HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Yehova Anafanya Agano na Daudi
Yehova alitangaza kwamba angetokeza ukoo wa kifalme kwa ajili ya Daudi (2Sa 7:11, 12, maelezo ya chini; w10 4/1 20 ¶3; ona picha kwenye jalada)
Sehemu fulani za agano ambalo Yehova alifanya na Daudi zilitimizwa na Masihi (2Sa 7:13, 14; Ebr 1:5; w10 4/1 20 ¶4)
Mambo ambayo Masihi atafanya yatadumu milele (2Sa 7:15, 16; Ebr 1:8; w14 10/15 10 ¶14)
Jua na mwezi vinatukumbusha kwamba utawala wa Masihi utadumu milele. (Zb 89:35-37) Unapovitazama, fikiria kuhusu baraka ambazo Yehova amekuahidi wewe na familia yako kupitia Ufalme Wake.