Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Daudi akitafakari agano kati yake na Yehova

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yehova Anafanya Agano na Daudi

Yehova Anafanya Agano na Daudi

Yehova alitangaza kwamba angetokeza ukoo wa kifalme kwa ajili ya Daudi (2Sa 7:11, 12, maelezo ya chini; w10 4/1 20 ¶3; ona picha kwenye jalada)

Sehemu fulani za agano ambalo Yehova alifanya na Daudi zilitimizwa na Masihi (2Sa 7:13, 14; Ebr 1:5; w10 4/1 20 ¶4)

Mambo ambayo Masihi atafanya yatadumu milele (2Sa 7:15, 16; Ebr 1:8; w14 10/15 10 ¶14)

Jua na mwezi vinatukumbusha kwamba utawala wa Masihi utadumu milele. (Zb 89:35-37) Unapovitazama, fikiria kuhusu baraka ambazo Yehova amekuahidi wewe na familia yako kupitia Ufalme Wake.