Mei 9-15
1 SAMWELI 30-31
Wimbo 8 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jitie Nguvu kwa Msaada wa Yehova Mungu Wako”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 30:23, 24—Tunajifunza nini kutokana na simulizi hili? (w05 3/15 24 ¶8)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 30:1-10 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ziara ya Kwanza: Kuteseka—1Yo 5:19. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayojitokeza kwenye video.
Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 8)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! na uanzishe funzo la Biblia kwenye somo la 01. (th somo la 16)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Sali Wakati Wowote: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha, ikiwezekana, waulize watoto uliowachagua mapema: Kwa nini unapaswa kusali kwa Yehova? Ni wakati gani mbalimbali unaofaa kusali kwake? Unaweza kumwambia nini unaposali?
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 03
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 95 na Sala