BORESHA HUDUMA YAKO
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
ZIARA YA KWANZA
Swali: Una maoni gani kuhusu Biblia?
Andiko: Ro 15:4
Ziara Inayofuata: Ni ahadi gani ya Biblia inayotupatia tumaini?
ZIARA YA KURUDIA
Swali: Ni ahadi gani ya Biblia inayotupatia tumaini?
Andiko: Ufu 21:3, 4
Ziara Inayofuata: Tunaweza kuielewaje Biblia?