Juni 26–Julai 2
EZRA 1-3
Wimbo 75 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mruhusu Yehova Akutumie”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ezr 1:5, 6—Tunaweza kujifunza nini kutokana na baadhi ya Waisraeli waliobaki Babiloni? (w06 1/15 19 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ezr 2:58-70 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 9)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 10 muhtasari, ungejibuje, na lengo (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Pata Shangwe ya Kuanzisha Mazungumzo”: (Dak. 15) Mazungumzo na video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 49 jambo kuu la 1-5
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 132 na Sala