Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mruhusu Yehova Akutumie

Mruhusu Yehova Akutumie

[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Ezra.]

Yehova aliuchochea moyo wa Mfalme Koreshi kuwaachilia huru Waisraeli (Ezr 1:1-3; w22.03 14 ¶1)

Yehova alichochea mioyo ya watu wake kujenga upya hekalu (Ezr 1:5; w17.10 26 ¶2)

Ukiwa tayari kutumiwa, Yehova anaweza kukufanya uwe chochote anachohitaji uwe ili kutimiza mapenzi yake