HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mruhusu Yehova Akutumie
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Ezra.]
Yehova aliuchochea moyo wa Mfalme Koreshi kuwaachilia huru Waisraeli (Ezr 1:1-3; w22.03 14 ¶1)
Yehova alichochea mioyo ya watu wake kujenga upya hekalu (Ezr 1:5; w17.10 26 ¶2)
Ukiwa tayari kutumiwa, Yehova anaweza kukufanya uwe chochote anachohitaji uwe ili kutimiza mapenzi yake