HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Waone Wengine Kama Yehova Anavyowaona
Mfalme Yehoshafati alifanya mapatano yasiyo ya hekima pamoja na Mfalme Ahabu (2Nya 18:1-3; w17.03 24 ¶7)
Yehova alimtuma Yehu kumrekebisha Yehoshafati (2Nya 19:1, 2)
Yehova alikumbuka mambo mazuri ambayo Yehoshafati alikuwa amefanya (2Nya 19:3; w15 8/15 11-12 ¶8-9)
JIULIZE, ‘Je, mimi huona sifa nzuri za ndugu na dada zangu kama Yehova anavyofanya badala ya kukazia fikira kutokamilika kwao?’