Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Waone Wengine Kama Yehova Anavyowaona

Waone Wengine Kama Yehova Anavyowaona

Mfalme Yehoshafati alifanya mapatano yasiyo ya hekima pamoja na Mfalme Ahabu (2Nya 18:1-3; w17.03 24 ¶7)

Yehova alimtuma Yehu kumrekebisha Yehoshafati (2Nya 19:1, 2)

Yehova alikumbuka mambo mazuri ambayo Yehoshafati alikuwa amefanya (2Nya 19:3; w15 8/15 11-12 ¶8-9)

JIULIZE, ‘Je, mimi huona sifa nzuri za ndugu na dada zangu kama Yehova anavyofanya badala ya kukazia fikira kutokamilika kwao?’